Friday, December 27, 2013

NEED FOR GUIDANCE
You have known the holy Scriptures, which are able to make you wise for salvation through faith in Christ Jesus (2 Timothy 3:15).

If any of you lacks wisdom, he should ask God, who gives generously to all without finding fault, and it will be given to him (James 1:5).

Monday, December 16, 2013

·         GO CONFERENCE 2013-(22nd Dec to 27 Dec 2013)
TAFES NATIONAL MISSION CONFERENCE

VENUE-University of Dodoma(UDOM)-Dodoma
THEME-"....Go and Possess the land..." Joshua 18:3 
PARTICIPANTS-Over 700 Students and Associates from Tanzania and beyond.
FEES- 40,000tsh per student and 60,000tsh per associate

OTHER TOPICS TO BE TAUGHT-
Media & Missions,Sports & Missions,Governance & Missions
Apologetic & Missions,Spiritual Warfare,Praise Worship & 
Missions,Evangelistic Bible Study,Follow Up & Counseling in 
Missions,Urban & Rural Evangelism,
New Languages as Tools for Missions,Special Ministries to the 
Disabled,Drug addicts etc

KUISHI MAISHA YA USHINDIImekuwa ni matatanio ya kila mwanadamu kuishi maisha ya ushindi lakini hayo matamanio hutofautiana baina ya mtu mmoja na mwingine hii ni kwa sababu ya mitazamo kutofautiana.Ukisoma katika biblia utaona utaona jinzi Mungu alivyo mkusudia binadamu aishi maisha ya ushindi ndio mana ukiangalia uumbaji wa binadam ni tofauti na uumbaji wa vitu vingine MWANZO 1:6-24 Mungu alipoumba vitu vyote alitamka kiwepo hiki na kikawepo lakini ulipokuja uumbaji wa binadam ulikua katika majadiliano kati ya MUNGU BABA, MUNGU MWANA NA ROHO MTAKATIFU{TRINITY} Mwanzo 1:26 biblia inasema na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu wakatawale…………kwa hiyo tunaona dhahiri kwamba Mungu alishirikisha cabinet lake mbinguni katika kumuumba binadam na huyo binadamu aliubwa atawale.Pia uumbaji wa binadam ulikuwa katika process Mwanzo2:7&18&21-22 uumbaji wa binadam ulikuwa katika hatua biblia inatuambia yalichukuliwa mavumbi ya ardhi ambayo yaliumba mtu asie hai, ili mtu awe hai Mungu alimpulizia pumzi yake hatmaye akawa nafsi hai vile vile uumbaji wa HAWA.Kabla sijaendelea na kujikita katika somo ningependa tujiulize ni upi mfano wa mungu kumbuka hatujaubwa kama Mungu lakini tumeubwa kwa mfano wake.Biblia inamuelezea kuwa Mungu ni ROHO Yohana 4:23 Mungu ni Roho nao wamwabuduo imewapasa kumwabudu katika Roho na kweli. Kwahiyo binadamu kuna namna ambayo aweza akaishi kama Roho(kuishi Rohoni).